Tuesday, May 28, 2013

Fyuu!,fyuuuu.....uuuuuuuuwi!!,Unamjua huyu?..

For more detail:Call 0715790599
Maisha ni safari ndefu sana, unapokuwa katika harakati zozote hapa duniani ya kufanya siku ya kesho iweze kuwa bora lazima uwe makini sana sana kwa kila step unayopiga forward. Kumbuka hayo yote yanayotokea maishani mwako yanazongwazongwa na vikwazo vingi sana na hasa pale panapoonekana kuna dalili ya wewe milango yako ya baraka kufunguka. Hayo yote yametokea kwa mwanadada mrembo mwenye muonekano wa kipekee na ni ngumu akili yako kuamini pale utakapokutana nae na akakupa historia fupi juu ya maisha yake na asili yake na kwanini paka leo yuko hapa.Huyu dada si mwaingine bali ni...............

Check mabata yalivyotafunwa diz weekend Tumain University - Iringa ...

Ystee na Baby mama wake.